Jeshi la Polisi Mkoani Singida linamshikilia msichana mmoja amabye anaumri wa miaka ishirini na moja(21) kwa kosa la kuchoma moto nyumba waliyokuwemo watu 7 na kuhatarisha maisha yao.
Yadaiwa sababu kubwa iliyomsukuma binti huyo mpaka akajikuta anaitia kiberiti nyumba hiyo ni wivu wa mapenzi.
MSICHANA WA MIAKA 21 ACHOMA NYUMBA NA KUHATARISHA MAISHA YA WATU 7 KWA WIVU WA MAPENZI
Reviewed by MASENGWA
on
May 31, 2017
Rating: 5
No comments: